Font Size
Marko 14:66-68
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:66-68
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Petro Amkana Yesu
(Mt 26:69-75; Lk 22:56-62; Yh 18:15-18,25-27)
66 Wakati Petro alipokuwa bado barazani, mtumishi wa kike wa kuhani mkuu alifika pale. 67 Alipomwona Petro akijipasha moto, alimkazia macho na kumwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu, Mnazareti.”
68 Lakini Petro alisema, “Hii si kweli, mie sifahamu wala kuelewa kile unachokisema.” Baada ya hapo Petro alitoka na kwenda barazani na hapo hapo jogoo akawika.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International