Font Size
Mathayo 7:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kanuni ya Muhimu Sana
12 Watendee wengine kama ambavyo wewe ungetaka wao wakutendee. Hii ndiyo tafsiri ya torati[a] na mafundisho ya manabii.
Read full chapterFootnotes
- 7:12 torati Au “Sheria ya Musa”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International